Zaburi 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Moshi ukapanda katika mianzi ya pua yake, nao moto kutoka kinywani mwake ukaendelea kuteketeza;+Makaa yakawaka moto kutoka kwake. Yeremia 23:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Je, neno langu halilingani na moto,”+ asema Yehova, “na kama nyundo ya chuma ambayo huvunja mwamba?”+ Waebrania 12:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa maana Mungu wetu pia ni moto unaoteketeza.+
8 Moshi ukapanda katika mianzi ya pua yake, nao moto kutoka kinywani mwake ukaendelea kuteketeza;+Makaa yakawaka moto kutoka kwake.
29 “Je, neno langu halilingani na moto,”+ asema Yehova, “na kama nyundo ya chuma ambayo huvunja mwamba?”+