Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Vitu vyenye thamani havitakuwa na faida yoyote siku ya ghadhabu,+ lakini uadilifu utakomboa kutoka katika kifo.+

  • Isaya 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Katika siku hiyo mtu wa udongo atatupia panya-sange na popo miungu yake ya fedha ya ubatili na miungu yake ya dhahabu isiyo na thamani ambayo walikuwa wamemfanyia yeye ili ainame mbele yake,+

  • Ezekieli 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “ ‘Katika barabara watatupa fedha yao wenyewe, na dhahabu yao wenyewe itakuwa chukizo. Fedha yao wala dhahabu yao hazitaweza kuwakomboa katika siku ya ghadhabu ya Yehova.+ Nafsi zao hawatazishibisha, nayo matumbo yao hawatayajaza, kwa maana ni kikwazo kinachosababisha kosa lao.+

  • Yakobo 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Haya! basi, enyi matajiri,+ lieni, mkipiga mayowe juu ya taabu zenu zinazokuja juu yenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki