22 Nanyi mtakitia unajisi kifuniko cha sanamu zenu za kuchongwa za fedha+ na kifuniko kinachobana cha sanamu yenu ya kuyeyushwa+ ya dhahabu.+ Utazitawanya.+ Kama mwanamke mwenye hedhi, utaiambia hivi: “Uchafu mtupu!”+
7 Kwa maana katika siku hiyo watakataa kila mmoja miungu yake ya fedha isiyo na thamani na miungu yake ya dhahabu isiyo na thamani,+ ambayo mikono yenu imewafanyizia ninyi kuwa dhambi.+