Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na mfalme akawaamuru Hilkia+ kuhani mkuu na makuhani wa daraja la pili na watunza-milango+ waondoe katika hekalu la Yehova vyombo vyote vilivyotengenezwa kwa ajili ya Baali+ na kwa ajili ya mti mtakatifu+ na kwa ajili ya jeshi lote la mbinguni.+ Ndipo akaviteketeza kwa moto nje ya Yerusalemu kwenye matuta ya Kidroni,+ naye akayapeleka mavumbi yake kule Betheli.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tena wakabomoa mbele yake zile madhabahu+ za Mabaali;+ na vile vinara vya uvumba+ vilivyokuwa juu akavikata kutoka juu yazo; na ile miti mitakatifu+ na sanamu za kuchongwa+ na sanamu za kuyeyushwa akazivunja vipande-vipande na kuzifanya kuwa mavumbi,+ kisha akayanyunyiza juu ya uso wa makaburi ya wale waliokuwa wakizitolea dhabihu.+

  • Zekaria 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Na itatukia katika siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “kwamba nitakatilia mbali majina ya sanamu kutoka katika nchi,+ nayo hayatakumbukwa tena kamwe; nami nitaondoa pia katika nchi manabii+ na roho ya uchafu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki