33 Kisha Yosia akaondoa machukizo+ yote kutoka katika nchi zote za wana wa Israeli,+ naye akawafanya wote waliopatikana katika Israeli wachukue utumishi, wamtumikie Yehova Mungu wao. Siku zake zote hawakugeuka kando wasimfuate Yehova Mungu wa mababu zao.+