9 Basi Yehoyada kuhani akachukua sanduku,+ akatoboa tundu katika kifuniko chake, akaliweka kando ya madhabahu upande wa kuume mtu anapoingia ndani ya nyumba ya Yehova, na makuhani, watunza-malango,+ wakaweka humo pesa+ zote zilizokuwa zikiletwa katika nyumba ya Yehova.