2 Mambo ya Nyakati 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wakuu+ wote na watu wote wakaanza kushangilia,+ nao wakaendelea kuleta na kuitia ndani ya lile sanduku+ mpaka wote walipokuwa wametoa. Mathayo 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ili zawadi zako za rehema zitolewe katika siri; ndipo Baba yako anayetazama akiwa mahali pa siri atakulipa.+ 2 Wakorintho 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kila mmoja na afanye kama alivyoazimia moyoni mwake, si kwa kutopenda+ wala kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda mtoaji mchangamfu.+
10 Na wakuu+ wote na watu wote wakaanza kushangilia,+ nao wakaendelea kuleta na kuitia ndani ya lile sanduku+ mpaka wote walipokuwa wametoa.
4 ili zawadi zako za rehema zitolewe katika siri; ndipo Baba yako anayetazama akiwa mahali pa siri atakulipa.+
7 Kila mmoja na afanye kama alivyoazimia moyoni mwake, si kwa kutopenda+ wala kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda mtoaji mchangamfu.+