9 Na watu wakashangilia kutokana na matoleo yao ya hiari waliyotoa, kwa maana walimtolea Yehova matoleo ya hiari kwa moyo kamili;+ na hata Daudi mfalme akashangilia kwa shangwe kubwa.+
46 Na siku baada ya siku walikuwa wakihudhuria daima kwenye hekalu kwa umoja,+ nao walikula milo yao katika nyumba za faragha na kushiriki chakula kwa shangwe+ kuu na weupe wa moyo,