Ezekieli 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hakuna yoyote kati ya dhambi zake alizozitenda itakayokumbukwa juu yake.+ Yeye ameendelea kutenda haki na uadilifu. Hakika ataendelea kuishi.’+ Sefania 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole wa dunia,+ ambao mmetenda uamuzi Wake wa hukumu. Utafuteni uadilifu,+ utafuteni upole.+ Huenda+ mkafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+ Matendo 10:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 bali katika kila taifa mtu ambaye anamwogopa na kutenda uadilifu anakubalika kwake.+
16 Hakuna yoyote kati ya dhambi zake alizozitenda itakayokumbukwa juu yake.+ Yeye ameendelea kutenda haki na uadilifu. Hakika ataendelea kuishi.’+
3 mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole wa dunia,+ ambao mmetenda uamuzi Wake wa hukumu. Utafuteni uadilifu,+ utafuteni upole.+ Huenda+ mkafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+