Mwanzo 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na wale waliokuwa wakiingia, dume na jike wa kila namna ya mwili, wakaingia, kama vile Mungu alivyokuwa amemwamuru. Kisha Yehova akafunga mlango nyuma yake.+ Zaburi 31:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Utawaficha katika mahali pa siri pa uso wako+Mbali na ukusanyikaji pamoja wa watu.+Utawaficha katika kibanda chako mbali na kugombana kwa ndimi.+ Isaya 26:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Nendeni, watu wangu, ingia katika vyumba vyako vya ndani, na ufunge milango nyuma yako.+ Jifiche kwa kitambo kidogo mpaka hukumu itakapopita.+
16 Na wale waliokuwa wakiingia, dume na jike wa kila namna ya mwili, wakaingia, kama vile Mungu alivyokuwa amemwamuru. Kisha Yehova akafunga mlango nyuma yake.+
20 Utawaficha katika mahali pa siri pa uso wako+Mbali na ukusanyikaji pamoja wa watu.+Utawaficha katika kibanda chako mbali na kugombana kwa ndimi.+
20 “Nendeni, watu wangu, ingia katika vyumba vyako vya ndani, na ufunge milango nyuma yako.+ Jifiche kwa kitambo kidogo mpaka hukumu itakapopita.+