Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na wale waliokuwa wakiingia, dume na jike wa kila namna ya mwili, wakaingia, kama vile Mungu alivyokuwa amemwamuru. Kisha Yehova akafunga mlango nyuma yake.+

  • Kutoka 12:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nanyi mtachukua tawi la hisopo+ na kulichovya katika damu iliyo ndani ya beseni na kuipaka sehemu ya juu ya mlango na juu ya ile miimo miwili ya mlango kwa kiasi fulani cha damu iliyo kwenye beseni; na yeyote kati yenu asitoke nje ya mlango wa nyumba yake mpaka asubuhi.

  • Zaburi 32:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wewe ni mahali pangu pa kujificha; utanilinda kutokana na taabu.+

      Utanizingira kwa vigelegele vya shangwe kwa sababu ya kuniokoa.+ Sela.

  • Zaburi 91:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa manyoya yake ataweka kizuizi usiweze kufikiwa,+

      Nawe utapata kimbilio chini ya mabawa yake.+

      Ukweli+ wake utakuwa ngao+ kubwa na boma.

  • Methali 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki