Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 6:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza ufalme na uadilifu wake,+ nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+

  • Waroma 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa maana katika hiyo uadilifu+ wa Mungu unafunuliwa kwa sababu ya imani+ na kuelekea imani, kama vile ilivyoandikwa: “Lakini mwadilifu—ataishi kwa njia ya imani.”+

  • Waroma 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 kwa maana, kwa sababu ya kukosa kujua uadilifu wa Mungu+ bali wakitafuta kujiwekea uadilifu wao wenyewe,+ hawakujitiisha kwa uadilifu wa Mungu.+

  • Waefeso 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 na mnapaswa kuvaa+ utu mpya+ ulioumbwa+ kulingana na mapenzi ya Mungu katika uadilifu wa kweli+ na ushikamanifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki