15 Kwa hiyo akawaambia: “Ninyi ni wale mnaojitangaza kuwa waadilifu mbele ya macho ya wanadamu,+ lakini Mungu anaijua mioyo+ yenu; kwa sababu kilichoinuka sana kati ya wanadamu ni chukizo machoni pa Mungu.+
9 na nipatikane katika muungano naye, nikiwa, si na uadilifu wangu mwenyewe, ambao hutokana na sheria,+ bali ule ambao ni kupitia imani+ katika Kristo, uadilifu unaotoka kwa Mungu kwa msingi wa imani,+