Waroma 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 kwa maana katika hiyo uadilifu+ wa Mungu unafunuliwa kwa sababu ya imani+ na kuelekea imani, kama vile ilivyoandikwa: “Lakini mwadilifu—ataishi kwa njia ya imani.”+ Waroma 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini sasa uadilifu+ wa Mungu umefunuliwa bila sheria, kama unavyotolewa ushahidi+ na Sheria+ na Manabii;+
17 kwa maana katika hiyo uadilifu+ wa Mungu unafunuliwa kwa sababu ya imani+ na kuelekea imani, kama vile ilivyoandikwa: “Lakini mwadilifu—ataishi kwa njia ya imani.”+
21 Lakini sasa uadilifu+ wa Mungu umefunuliwa bila sheria, kama unavyotolewa ushahidi+ na Sheria+ na Manabii;+