9 Mara moja Musa akafanya nyoka wa shaba+ na kumweka juu ya nguzo ya ishara;+ na ikawa kwamba nyoka alipomuuma mtu naye akamtazama+ yule nyoka wa shaba, ndipo alipoendelea kuwa hai.+
18 Nitawainulia wao nabii kutoka katikati ya ndugu zao, kama wewe;+ nami nitaweka maneno yangu katika kinywa chake,+ naye atasema nao yote nitakayomwamuru.+