Yohana 8:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa hiyo Yesu akasema: “Mara tu mkiisha kumwinua+ Mwana wa binadamu,+ ndipo mtakapojua kwamba mimi ndiye,+ na kwamba sifanyi jambo lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe;+ bali kama vile Baba alivyonifundisha, ndivyo ninavyosema mambo haya.+ Yohana 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kwa sababu maneno uliyonipa nimewapa, nao wameyapokea+ na wamejua kwamba nilitoka nikiwa mwakilishi+ wako, nao wameamini kwamba ulinituma.+
28 Kwa hiyo Yesu akasema: “Mara tu mkiisha kumwinua+ Mwana wa binadamu,+ ndipo mtakapojua kwamba mimi ndiye,+ na kwamba sifanyi jambo lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe;+ bali kama vile Baba alivyonifundisha, ndivyo ninavyosema mambo haya.+
8 kwa sababu maneno uliyonipa nimewapa, nao wameyapokea+ na wamejua kwamba nilitoka nikiwa mwakilishi+ wako, nao wameamini kwamba ulinituma.+