Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mara moja Musa akafanya nyoka wa shaba+ na kumweka juu ya nguzo ya ishara;+ na ikawa kwamba nyoka alipomuuma mtu naye akamtazama+ yule nyoka wa shaba, ndipo alipoendelea kuwa hai.+

  • Yohana 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na kama vile Musa alivyoinua nyoka+ nyikani, ndivyo Mwana wa binadamu atakavyoinuliwa,+

  • Yohana 12:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na bado mimi, nikiinuliwa+ kutoka duniani, nitavuta watu wa namna zote kwangu.”+

  • Wagalatia 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kristo kwa kutununua+ alituachilia huru+ kutoka katika laana ya Sheria kwa yeye kuwa laana+ badala yetu, kwa sababu imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu aliyetundikwa juu ya mti.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki