Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na kama vile Musa alivyoinua nyoka+ nyikani, ndivyo Mwana wa binadamu atakavyoinuliwa,+

  • Yohana 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 ili kila mtu anayemwamini apate kuwa na uzima wa milele.+

  • Yohana 6:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Baba yangu, kwamba kila mtu ambaye humtazama Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele,+ nami nitamfufua katika siku ya mwisho.”+

  • Waroma 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa maana katika hiyo uadilifu+ wa Mungu unafunuliwa kwa sababu ya imani+ na kuelekea imani, kama vile ilivyoandikwa: “Lakini mwadilifu—ataishi kwa njia ya imani.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki