Yohana 3:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Yule anayemwamini+ Mwana ana uzima wa milele;+ yule asiyemtii Mwana hataona uzima,+ bali ghadhabu ya Mungu hukaa juu yake.+ Yohana 20:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Lakini haya yameandikwa+ ili mpate kuamini kwamba Yesu ndiye Kristo Mwana wa Mungu, na kwamba, kwa sababu ya kuamini,+ mpate kuwa na uzima kupitia jina lake.
36 Yule anayemwamini+ Mwana ana uzima wa milele;+ yule asiyemtii Mwana hataona uzima,+ bali ghadhabu ya Mungu hukaa juu yake.+
31 Lakini haya yameandikwa+ ili mpate kuamini kwamba Yesu ndiye Kristo Mwana wa Mungu, na kwamba, kwa sababu ya kuamini,+ mpate kuwa na uzima kupitia jina lake.