Waroma 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 hata hivyo, kwa wale wenye ugomvi+ na wale wasioitii kweli+ bali hutii ukosefu wa uadilifu kutakuwa na ghadhabu na hasira,+ Waefeso 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtu yeyote asiwadanganye ninyi kwa maneno matupu,+ kwa maana kwa sababu ya mambo yaliyotangulia kusemwa ghadhabu ya Mungu inakuja juu ya wana wa kutotii.+ Waebrania 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 lakini kuna tarajio hakika lenye kuogopesha la hukumu+ na kuna wivu unaowaka moto ambao utawateketeza wale wanaopinga.+
8 hata hivyo, kwa wale wenye ugomvi+ na wale wasioitii kweli+ bali hutii ukosefu wa uadilifu kutakuwa na ghadhabu na hasira,+
6 Mtu yeyote asiwadanganye ninyi kwa maneno matupu,+ kwa maana kwa sababu ya mambo yaliyotangulia kusemwa ghadhabu ya Mungu inakuja juu ya wana wa kutotii.+
27 lakini kuna tarajio hakika lenye kuogopesha la hukumu+ na kuna wivu unaowaka moto ambao utawateketeza wale wanaopinga.+