Isaya 26:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ee Yehova, mkono wako umeinuliwa juu,+ lakini wao hawauoni.+ Wataona na kupata aibu+ kutokana na bidii kwa ajili ya watu wako. Ndiyo, moto+ kwa ajili ya adui zako utawateketeza wao. Marko 3:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hata hivyo, yeyote yule anayekufuru roho takatifu hatapata msamaha milele, bali ana hatia ya dhambi ya milele.”+
11 Ee Yehova, mkono wako umeinuliwa juu,+ lakini wao hawauoni.+ Wataona na kupata aibu+ kutokana na bidii kwa ajili ya watu wako. Ndiyo, moto+ kwa ajili ya adui zako utawateketeza wao.
29 Hata hivyo, yeyote yule anayekufuru roho takatifu hatapata msamaha milele, bali ana hatia ya dhambi ya milele.”+