Zaburi 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Usimame,+ Ee Yehova. Ee Mungu, uinue mkono wako.+Usiwasahau wenye kuteseka.+ Mika 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mkono wako utainuliwa juu ya wapinzani wako,+ na adui zako wote watakatiliwa mbali.”+