Wakolosai 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ninasema jambo hili ili mtu yeyote asiwadanganye ninyi kwa hoja zenye kushawishi.+ Wakolosai 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mjihadhari: labda kuna mtu ambaye atawachukua+ ninyi kama windo lake kupitia falsafa+ na udanganyifu mtupu+ kulingana na pokeo la wanadamu, kulingana na mambo ya msingi+ ya ulimwengu na si kulingana na Kristo;
8 Mjihadhari: labda kuna mtu ambaye atawachukua+ ninyi kama windo lake kupitia falsafa+ na udanganyifu mtupu+ kulingana na pokeo la wanadamu, kulingana na mambo ya msingi+ ya ulimwengu na si kulingana na Kristo;