Yohana 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Kwa maana Mungu aliupenda+ ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa-pekee,+ ili kila mtu anayemwamini+ asiangamizwe+ bali awe na uzima wa milele.+ Yohana 6:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Kwa kweli kabisa ninawaambia, Yule ambaye huamini ana uzima wa milele.+ Waebrania 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 na baada ya yeye kufanywa kuwa mkamilifu+ akawa ndiye mwenye daraka la wokovu+ wa milele kwa wale wote wanaomtii,+
16 “Kwa maana Mungu aliupenda+ ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa-pekee,+ ili kila mtu anayemwamini+ asiangamizwe+ bali awe na uzima wa milele.+
9 na baada ya yeye kufanywa kuwa mkamilifu+ akawa ndiye mwenye daraka la wokovu+ wa milele kwa wale wote wanaomtii,+