- 
	                        
            
            2 Wafalme 18:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        4 Yeye ndiye aliyeondoa mahali pa juu+ na kuzivunja vipande-vipande zile nguzo takatifu+ na kukata ule mti mtakatifu+ na kumponda vipande-vipande yule nyoka wa shaba+ ambaye Musa alitengeneza;+ kwa maana mpaka siku hizo wana wa Israeli walikuwa wameendelea kumfukizia moshi wa dhabihu,+ naye alikuwa akiitwa sanamu+ ya nyoka wa shaba. 
 
-