-
2 Wafalme 18:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Yeye ndiye aliyeondoa mahali pa juu,+ akazivunjavunja nguzo takatifu, na kuukata ule mti mtakatifu.*+ Pia alimpondaponda yule nyoka wa shaba aliyetengenezwa na Musa;+ kwa maana mpaka wakati huo Waisraeli walikuwa wakimfukizia moshi wa dhabihu, na nyoka huyo alikuwa akiitwa sanamu ya nyoka wa shaba.*
-