Hesabu 33:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Ni lazima muwafukuze wakaaji wote wa nchi hiyo kutoka mbele yenu na kuharibu sanamu zao zote za mawe+ na sanamu zao zote za chuma,*+ nanyi mnapaswa kuharibu mahali pao pote patakatifu palipo juu.+ 1 Wafalme 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lakini bado watu walikuwa wakitoa dhabihu mahali pa juu,+ kwa maana kufikia wakati huo nyumba haikuwa imejengwa kwa ajili ya jina la Yehova.+ 2 Wafalme 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Katika mwaka wa pili wa utawala wa Yehoashi+ mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli, Amazia mwana wa Mfalme Yehoashi wa Yuda akawa mfalme. 2 Wafalme 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata hivyo, mahali pa juu hapakuondolewa,+ na watu bado walikuwa wakitoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.+
52 Ni lazima muwafukuze wakaaji wote wa nchi hiyo kutoka mbele yenu na kuharibu sanamu zao zote za mawe+ na sanamu zao zote za chuma,*+ nanyi mnapaswa kuharibu mahali pao pote patakatifu palipo juu.+
2 Lakini bado watu walikuwa wakitoa dhabihu mahali pa juu,+ kwa maana kufikia wakati huo nyumba haikuwa imejengwa kwa ajili ya jina la Yehova.+
14 Katika mwaka wa pili wa utawala wa Yehoashi+ mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli, Amazia mwana wa Mfalme Yehoashi wa Yuda akawa mfalme.
4 Hata hivyo, mahali pa juu hapakuondolewa,+ na watu bado walikuwa wakitoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.+