Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 33:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Ni lazima muwafukuze wakaaji wote wa nchi hiyo kutoka mbele yenu na kuharibu sanamu zao zote za mawe+ na sanamu zao zote za chuma,*+ nanyi mnapaswa kuharibu mahali pao pote patakatifu palipo juu.+

  • 1 Wafalme 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Lakini bado watu walikuwa wakitoa dhabihu mahali pa juu,+ kwa maana kufikia wakati huo nyumba haikuwa imejengwa kwa ajili ya jina la Yehova.+

  • 2 Wafalme 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Katika mwaka wa pili wa utawala wa Yehoashi+ mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli, Amazia mwana wa Mfalme Yehoashi wa Yuda akawa mfalme.

  • 2 Wafalme 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hata hivyo, mahali pa juu hapakuondolewa,+ na watu bado walikuwa wakitoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki