2 Wafalme 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ni mahali pa juu peke yake ndipo hapakuondolewa.+ Watu walikuwa bado wanatoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.+
4 Ni mahali pa juu peke yake ndipo hapakuondolewa.+ Watu walikuwa bado wanatoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.+