1 Wafalme 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye hakuondoa+ mahali pa juu.+ Hata hivyo, moyo wa Asa ulikuwa mkamilifu kwa Yehova siku zake zote.+ 2 Wafalme 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ni mahali pa juu peke yake ndipo hapakuondolewa.+ Watu walikuwa wangali wanatoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.
14 Naye hakuondoa+ mahali pa juu.+ Hata hivyo, moyo wa Asa ulikuwa mkamilifu kwa Yehova siku zake zote.+
3 Ni mahali pa juu peke yake ndipo hapakuondolewa.+ Watu walikuwa wangali wanatoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.