Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wafalme 15:1

Marejeo

  • +1Fa 12:20
  • +1Fa 12:2
  • +2Nya 11:22; 13:1

1 Wafalme 15:2

Marejeo

  • +2Nya 11:20; 13:2
  • +2Nya 11:21

1 Wafalme 15:3

Marejeo

  • +2Fa 20:3; 2Nya 25:2; 31:20; Zb 119:80
  • +1Fa 11:4

1 Wafalme 15:4

Marejeo

  • +2Sa 7:12; Zb 89:35; Isa 37:35; Yer 33:21
  • +1Fa 11:36; 2Nya 21:7; Zb 132:17; Lu 1:69; 2:32; Yoh 1:9; 8:12; Ufu 22:16
  • +Zb 87:5

1 Wafalme 15:5

Marejeo

  • +1Fa 14:8; 2Fa 22:2
  • +2Sa 11:4, 15; Zb 51:utangulizi

1 Wafalme 15:6

Marejeo

  • +1Fa 14:30; 2Nya 12:15

1 Wafalme 15:7

Marejeo

  • +2Nya 13:22
  • +2Nya 13:3

1 Wafalme 15:8

Marejeo

  • +2Nya 14:1
  • +1Nya 3:10; Mt 1:7

1 Wafalme 15:10

Marejeo

  • +1Fa 15:2; 2Nya 11:20; 13:2
  • +1Fa 15:2; 2Nya 11:21

1 Wafalme 15:11

Marejeo

  • +2Nya 14:2, 11; 15:17

1 Wafalme 15:12

Marejeo

  • +Kum 23:17; 1Fa 14:24; 22:46; 1Ko 6:9
  • +Kut 20:4; 2Nya 14:3; Yer 10:14
  • +1Fa 11:7; 14:23; Eze 20:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2012, uku. 8

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 8/15 8

1 Wafalme 15:13

Marejeo

  • +2Nya 11:20
  • +Kum 13:6; 2Nya 15:16; Zek 13:3; Mt 10:37; Lu 12:53
  • +Kum 7:5; 2Fa 18:4; 2Nya 34:4
  • +Kum 9:21
  • +2Sa 15:23; Yoh 18:1

1 Wafalme 15:14

Marejeo

  • +1Sa 9:12
  • +Hes 33:52; Kum 12:2; 1Fa 22:43
  • +1Fa 8:61; 2Nya 15:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    3/2017, uku. 19

1 Wafalme 15:15

Marejeo

  • +1Nya 26:26; 2Nya 15:18

1 Wafalme 15:16

Marejeo

  • +1Fa 15:32; 16:3, 12; 2Nya 16:3

1 Wafalme 15:17

Marejeo

  • +Yos 18:25; 2Nya 16:1
  • +1Fa 12:27; 2Nya 11:14

1 Wafalme 15:18

Marejeo

  • +2Nya 16:2
  • +2Nya 16:7, 9
  • +Mwa 15:2; 1Fa 11:24; Yer 49:27; Amo 1:5

1 Wafalme 15:19

Marejeo

  • +Met 17:8
  • +2Nya 16:3

1 Wafalme 15:20

Marejeo

  • +2Fa 15:29
  • +Amu 18:29; 1Fa 12:29
  • +2Sa 20:14
  • +2Nya 16:4

1 Wafalme 15:21

Marejeo

  • +2Nya 16:5
  • +1Fa 14:17; Wim 6:4

1 Wafalme 15:22

Marejeo

  • +2Nya 16:6
  • +Yos 18:24; 21:17
  • +Yos 18:26; Amu 20:1; 1Sa 7:5; Yer 40:6

1 Wafalme 15:23

Marejeo

  • +1Fa 14:29; 2Nya 16:11
  • +Zb 90:10
  • +2Nya 16:12; Mhu 12:1

1 Wafalme 15:24

Marejeo

  • +2Nya 16:13
  • +2Nya 16:14
  • +1Fa 22:42; 2Nya 17:4; 18:1; 19:4; 20:25; Mt 1:8

1 Wafalme 15:25

Marejeo

  • +1Fa 14:20

1 Wafalme 15:26

Marejeo

  • +1Fa 14:9; 16:7, 25, 30
  • +1Fa 12:28; 13:33
  • +1Fa 12:30; 14:16

1 Wafalme 15:27

Marejeo

  • +1Fa 15:16
  • +Yos 19:44; 21:23; 1Fa 16:15

1 Wafalme 15:28

Marejeo

  • +1Fa 14:6

1 Wafalme 15:29

Marejeo

  • +1Fa 14:10; Zb 21:10

1 Wafalme 15:30

Marejeo

  • +1Fa 14:9
  • +Yer 7:19

1 Wafalme 15:31

Marejeo

  • +1Fa 14:19

1 Wafalme 15:32

Marejeo

  • +2Nya 12:15

1 Wafalme 15:33

Marejeo

  • +1Fa 16:8

1 Wafalme 15:34

Marejeo

  • +1Fa 16:7
  • +1Fa 12:28; 13:33
  • +1Fa 14:9; Isa 1:4

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Fal. 15:11Fa 12:20
1 Fal. 15:11Fa 12:2
1 Fal. 15:12Nya 11:22; 13:1
1 Fal. 15:22Nya 11:20; 13:2
1 Fal. 15:22Nya 11:21
1 Fal. 15:32Fa 20:3; 2Nya 25:2; 31:20; Zb 119:80
1 Fal. 15:31Fa 11:4
1 Fal. 15:42Sa 7:12; Zb 89:35; Isa 37:35; Yer 33:21
1 Fal. 15:41Fa 11:36; 2Nya 21:7; Zb 132:17; Lu 1:69; 2:32; Yoh 1:9; 8:12; Ufu 22:16
1 Fal. 15:4Zb 87:5
1 Fal. 15:51Fa 14:8; 2Fa 22:2
1 Fal. 15:52Sa 11:4, 15; Zb 51:utangulizi
1 Fal. 15:61Fa 14:30; 2Nya 12:15
1 Fal. 15:72Nya 13:22
1 Fal. 15:72Nya 13:3
1 Fal. 15:82Nya 14:1
1 Fal. 15:81Nya 3:10; Mt 1:7
1 Fal. 15:101Fa 15:2; 2Nya 11:20; 13:2
1 Fal. 15:101Fa 15:2; 2Nya 11:21
1 Fal. 15:112Nya 14:2, 11; 15:17
1 Fal. 15:12Kum 23:17; 1Fa 14:24; 22:46; 1Ko 6:9
1 Fal. 15:12Kut 20:4; 2Nya 14:3; Yer 10:14
1 Fal. 15:121Fa 11:7; 14:23; Eze 20:18
1 Fal. 15:132Nya 11:20
1 Fal. 15:13Kum 13:6; 2Nya 15:16; Zek 13:3; Mt 10:37; Lu 12:53
1 Fal. 15:13Kum 7:5; 2Fa 18:4; 2Nya 34:4
1 Fal. 15:13Kum 9:21
1 Fal. 15:132Sa 15:23; Yoh 18:1
1 Fal. 15:141Sa 9:12
1 Fal. 15:14Hes 33:52; Kum 12:2; 1Fa 22:43
1 Fal. 15:141Fa 8:61; 2Nya 15:17
1 Fal. 15:151Nya 26:26; 2Nya 15:18
1 Fal. 15:161Fa 15:32; 16:3, 12; 2Nya 16:3
1 Fal. 15:17Yos 18:25; 2Nya 16:1
1 Fal. 15:171Fa 12:27; 2Nya 11:14
1 Fal. 15:182Nya 16:2
1 Fal. 15:182Nya 16:7, 9
1 Fal. 15:18Mwa 15:2; 1Fa 11:24; Yer 49:27; Amo 1:5
1 Fal. 15:19Met 17:8
1 Fal. 15:192Nya 16:3
1 Fal. 15:202Fa 15:29
1 Fal. 15:20Amu 18:29; 1Fa 12:29
1 Fal. 15:202Sa 20:14
1 Fal. 15:202Nya 16:4
1 Fal. 15:212Nya 16:5
1 Fal. 15:211Fa 14:17; Wim 6:4
1 Fal. 15:222Nya 16:6
1 Fal. 15:22Yos 18:24; 21:17
1 Fal. 15:22Yos 18:26; Amu 20:1; 1Sa 7:5; Yer 40:6
1 Fal. 15:231Fa 14:29; 2Nya 16:11
1 Fal. 15:23Zb 90:10
1 Fal. 15:232Nya 16:12; Mhu 12:1
1 Fal. 15:242Nya 16:13
1 Fal. 15:242Nya 16:14
1 Fal. 15:241Fa 22:42; 2Nya 17:4; 18:1; 19:4; 20:25; Mt 1:8
1 Fal. 15:251Fa 14:20
1 Fal. 15:261Fa 14:9; 16:7, 25, 30
1 Fal. 15:261Fa 12:28; 13:33
1 Fal. 15:261Fa 12:30; 14:16
1 Fal. 15:271Fa 15:16
1 Fal. 15:27Yos 19:44; 21:23; 1Fa 16:15
1 Fal. 15:281Fa 14:6
1 Fal. 15:291Fa 14:10; Zb 21:10
1 Fal. 15:301Fa 14:9
1 Fal. 15:30Yer 7:19
1 Fal. 15:311Fa 14:19
1 Fal. 15:322Nya 12:15
1 Fal. 15:331Fa 16:8
1 Fal. 15:341Fa 16:7
1 Fal. 15:341Fa 12:28; 13:33
1 Fal. 15:341Fa 14:9; Isa 1:4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wafalme 15:1-34

1 Wafalme

15 Na katika mwaka wa kumi na nane wa Mfalme Yeroboamu+ mwana wa Nebati,+ Abiyamu akawa mfalme juu ya Yuda.+ 2 Akatawala miaka mitatu katika Yerusalemu; na jina la mama yake lilikuwa Maaka+ mjukuu wa Abishalomu.+ 3 Naye akaendelea kutembea katika dhambi zote za baba yake alizotenda kabla yake; na moyo wake haukuwa mkamilifu+ kwa Yehova Mungu wake, kama moyo wa Daudi babu yake.+ 4 Kwa maana, kwa ajili ya Daudi,+ Yehova Mungu wake alimpa taa+ katika Yerusalemu kwa kumsimamisha mwana wake baada yake na kuendelea kulisimamisha Yerusalemu,+ 5 kwa sababu Daudi alifanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, naye hakugeuka kando kutoka katika jambo lolote ambalo Yeye alikuwa amemwamuru siku zote za maisha yake,+ ila tu katika ile habari ya Uria, Mhiti.+ 6 Na vita vikatokea kati ya Rehoboamu na Yeroboamu siku zote za maisha yake.+

7 Na mambo mengine ya Abiyamu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda? Palikuwa na vita pia vilivyotokea kati ya Abiyamu na Yeroboamu.+ 8 Mwishowe Abiyamu akalala pamoja na mababu zake, nao wakamzika katika Jiji la Daudi;+ na Asa+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

9 Katika mwaka wa 20 wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Asa alitawala akiwa mfalme wa Yuda. 10 Naye akatawala miaka 41 katika Yerusalemu; na jina la nyanya yake lilikuwa Maaka+ mjukuu wa Abishalomu.+ 11 Na Asa akafanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, kama Daudi babu yake.+ 12 Basi akawaondoa wanaume makahaba wa hekaluni kutoka katika nchi,+ akaondoa sanamu zote za mavi+ ambazo mababu zake walikuwa wametengeneza.+ 13 Na hata Maaka+ nyanya yake, mfalme alimwondoa asiwe malkia,+ kwa sababu alikuwa ametengeneza sanamu yenye kutisha kwa ajili ya mti mtakatifu; kisha Asa akaikata sanamu yake yenye kutisha,+ akaiteketeza kwa moto+ katika bonde la mto la Kidroni.+ 14 Naye hakuondoa+ mahali pa juu.+ Hata hivyo, moyo wa Asa ulikuwa mkamilifu kwa Yehova siku zake zote.+ 15 Naye akaanza kuingiza ndani ya nyumba ya Yehova vitu ambavyo baba yake alivifanya kuwa vitakatifu na vitu ambavyo yeye mwenyewe alivifanya kuwa vitakatifu, fedha na dhahabu na vyombo.+

16 Na vita vikawa kati ya Asa na Baasha+ mfalme wa Israeli siku zao zote. 17 Basi Baasha mfalme wa Israeli alikuja kupigana na Yuda na kuanza kujenga Rama,+ asimruhusu mtu yeyote kutoka nje wala kuingia ndani kwa Asa mfalme wa Yuda.+ 18 Ndipo Asa akachukua fedha yote na dhahabu iliyokuwa imebaki katika hazina za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme, akaitia mkononi mwa watumishi wake; na Mfalme Asa akawatuma waende kwa Ben-hadadi+ mwana wa Tabrimoni mwana wa Hezioni, mfalme wa Siria,+ aliyekuwa akikaa Damasko,+ akisema: 19 “Kuna agano kati yangu na wewe, kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, nimekuletea zawadi+ ya fedha na dhahabu. Njoo, vunja agano lako na Baasha mfalme wa Israeli, ili aondoke kwangu.”+ 20 Basi Ben-hadadi akamsikiliza Mfalme Asa, akatuma wakuu wake wa majeshi kushambulia majiji ya Israeli, wakapiga Iyoni+ na Dani+ na Abel-beth-maaka+ na Kinerethi yote, na hata nchi yote ya Naftali.+ 21 Na ikawa kwamba mara tu Baasha aliposikia habari hizo, mara moja akaacha kujenga Rama,+ akaendelea kukaa kule Tirsa.+ 22 Naye Mfalme Asa akaita Yuda+ wote—hakuna yeyote aliyeachwa—nao wakachukua mawe ya Rama na miti yake, ambayo Baasha alikuwa ametumia kujenga; na kwa vitu hivyo Mfalme Asa akaanza kujenga Geba+ katika Benyamini, na Mispa.+

23 Na mambo mengine yote ya Asa na uwezo wake wote na yote aliyoyafanya na majiji aliyoyajenga, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda? Ila tu kwamba wakati wa kuzeeka+ kwake miguu yake ikawa na ugonjwa.+ 24 Mwishowe Asa akalala pamoja na mababu zake,+ naye akazikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi babu yake;+ na Yehoshafati+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

25 Naye Nadabu+ mwana wa Yeroboamu akawa mfalme juu ya Israeli katika mwaka wa pili wa Asa mfalme wa Yuda; naye akaendelea kutawala juu ya Israeli miaka miwili. 26 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya+ machoni pa Yehova, akaendelea kutembea katika njia ya baba yake+ na katika dhambi yake ambayo kwa hiyo alisababisha Israeli kutenda dhambi.+ 27 Na Baasha+ mwana wa Ahiya wa nyumba ya Isakari akaanza kupanga hila juu yake; naye Baasha akampiga na kumuua kule Gibethoni,+ jiji la Wafilisti, wakati Nadabu na Israeli wote walipokuwa wakilizingira Gibethoni. 28 Kwa hiyo Baasha akamuua katika mwaka wa tatu wa Asa mfalme wa Yuda, akaanza kutawala mahali pake.+ 29 Na ikawa kwamba mara tu alipokuwa mfalme, akaipiga nyumba yote ya Yeroboamu. Hakuacha yeyote wa Yeroboamu anayepumua abaki mpaka alipokuwa amewaangamiza, kulingana na neno la Yehova alilosema kupitia mtumishi wake Ahiya Mshilo,+ 30 kwa sababu ya dhambi za Yeroboamu ambazo kupitia hizo alisababisha Israeli kutenda dhambi+ na kwa kutia uchungu kwake alikomtia uchungu Yehova Mungu wa Israeli.+ 31 Na mambo mengine ya Nadabu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli? 32 Na vita vikatokea kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli siku zao zote.+

33 Katika mwaka wa tatu wa Asa mfalme wa Yuda, Baasha mwana wa Ahiya akawa mfalme juu ya Israeli yote kule Tirsa kwa miaka 24.+ 34 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ akaendelea kutembea katika njia ya Yeroboamu+ na katika dhambi yake ambayo kupitia hiyo alisababisha Israeli kutenda dhambi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki