7 Na pia kupitia Yehu mwana wa Hanani nabii, neno la Yehova lilikuja juu ya Baasha na nyumba yake,+ kwa sababu ya ubaya wote aliotenda machoni pa Yehova kwa kumtia uchungu+ kwa kazi za mikono yake,+ ili iwe kama nyumba ya Yeroboamu, na pia kwa sababu alimpiga na kumuua.+