26 “Hata hivyo, wakakosa kutii,+ wakakuasi+ na kuzidi kutupa sheria yako nyuma ya migongo yao,+ wakawaua manabii wako mwenyewe,+ waliotoa ushahidi juu yao ili kuwarudisha kwako;+ nao wakaendelea kutenda matendo ya ukosefu mkubwa wa heshima.+
35 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu umenisahau+ nawe ulinitupa nyuma ya mgongo wako,+ basi wewe mwenyewe pia chukua mwenendo wako mpotovu na matendo yako ya ukahaba.’ ”