9 bali ukaanza kutenda vibaya zaidi kuliko wale wote waliokutangulia, nawe ukajitengenezea mungu mwingine+ na sanamu za kuyeyushwa+ ili kunitia uchungu,+ nawe umenitupa mimi nyuma ya mgongo wako;+
26 “Hata hivyo, wakakosa kutii,+ wakakuasi+ na kuzidi kutupa sheria yako nyuma ya migongo yao,+ wakawaua manabii wako mwenyewe,+ waliotoa ushahidi juu yao ili kuwarudisha kwako;+ nao wakaendelea kutenda matendo ya ukosefu mkubwa wa heshima.+