9 Wanaofanya sanamu ya kuchongwa wote ni ubatili,+ na vipenzi vyao hawatakuwa na faida yoyote;+ na wakiwa mashahidi wao hawaoni lolote wala hawajui lolote,+ ili waone aibu.+
14 Kila mtu amejiendesha kwa kukosa sana kutumia akili asiweze kujua.+ Hakika kila fundi wa chuma ataona aibu kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+ kwa maana sanamu yake ya kuyeyushwa ni uwongo,+ na hamna roho ndani yake.+