1 Mambo ya Nyakati 16:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu isiyo na thamani.+Lakini Yehova, alizifanya mbingu.+ Zaburi 97:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wote wanaotumikia sanamu yoyote ya kuchongwa na waone aibu,+Wale wanaojisifia miungu isiyo na thamani.+Mwinamieni, enyi miungu yote.+ Isaya 37:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na miungu yao iliteketezwa kwa moto,+ kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe, hivi kwamba wakaiharibu.+ Isaya 44:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ni nani ambaye amefanya mungu au kutengeneza sanamu ya kuyeyushwa?+ Imekuwa isiyo na faida yoyote.+ Yeremia 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ninyi mtawaambia hivi: “Miungu+ ambayo haikuzifanya mbingu na dunia ndiyo itakayoangamia kutoka katika dunia+ na kutoka chini ya mbingu hizi.” 1 Wakorintho 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+
26 Kwa maana miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu isiyo na thamani.+Lakini Yehova, alizifanya mbingu.+
7 Wote wanaotumikia sanamu yoyote ya kuchongwa na waone aibu,+Wale wanaojisifia miungu isiyo na thamani.+Mwinamieni, enyi miungu yote.+
19 Na miungu yao iliteketezwa kwa moto,+ kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe, hivi kwamba wakaiharibu.+
10 Ni nani ambaye amefanya mungu au kutengeneza sanamu ya kuyeyushwa?+ Imekuwa isiyo na faida yoyote.+
11 Ninyi mtawaambia hivi: “Miungu+ ambayo haikuzifanya mbingu na dunia ndiyo itakayoangamia kutoka katika dunia+ na kutoka chini ya mbingu hizi.”
4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+