Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu isiyo na thamani.+

      Lakini Yehova, alizifanya mbingu.+

  • Zaburi 97:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wote wanaotumikia sanamu yoyote ya kuchongwa na waone aibu,+

      Wale wanaojisifia miungu isiyo na thamani.+

      Mwinamieni, enyi miungu yote.+

  • Isaya 37:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na miungu yao iliteketezwa kwa moto,+ kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe, hivi kwamba wakaiharibu.+

  • Isaya 44:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ni nani ambaye amefanya mungu au kutengeneza sanamu ya kuyeyushwa?+ Imekuwa isiyo na faida yoyote.+

  • Yeremia 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ninyi mtawaambia hivi: “Miungu+ ambayo haikuzifanya mbingu na dunia ndiyo itakayoangamia kutoka katika dunia+ na kutoka chini ya mbingu hizi.”

  • 1 Wakorintho 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki