Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na miungu isiyo na thamani itapitilia mbali kabisa.+

  • Yeremia 51:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hizo ni ubatili,+ kazi ya mzaha.+ Wakati wa kuzikazia fikira, zitaangamia.+

  • Sefania 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova atakuwa mwenye kuogopesha juu yao;+ kwa maana ataikondesha miungu yote ya dunia,+ na watu watamwinamia,+ kila mmoja kutoka mahali pake, visiwa vyote vya mataifa.+

  • Zekaria 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Na itatukia katika siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “kwamba nitakatilia mbali majina ya sanamu kutoka katika nchi,+ nayo hayatakumbukwa tena kamwe; nami nitaondoa pia katika nchi manabii+ na roho ya uchafu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki