11 Yehova atakuwa mwenye kuogopesha juu yao;+ kwa maana ataikondesha miungu yote ya dunia,+ na watu watamwinamia,+ kila mmoja kutoka mahali pake, visiwa vyote vya mataifa.+
2 “Na itatukia katika siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “kwamba nitakatilia mbali majina ya sanamu kutoka katika nchi,+ nayo hayatakumbukwa tena kamwe; nami nitaondoa pia katika nchi manabii+ na roho ya uchafu.+