Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 8:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Tazama, kuna sauti ya kilio cha kuomba msaada cha binti ya watu wangu kutoka katika nchi ya mbali:+ “Je, Yehova hayumo Sayuni?+ Au, je, mfalme wake hayumo ndani yake?”+

      “Kwa nini wamenitia uchungu kwa sanamu zao za kuchongwa, kwa miungu yao ya kigeni ya ubatili?”+

  • Yeremia 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Je, kati ya sanamu za ubatili+ za mataifa kuna yoyote inayoweza kunyesha mvua, au, je, hata mbingu zinaweza kutoa manyunyu?+ Je, si Wewe, Ee Yehova Mungu wetu?+ Nasi tunakutumaini wewe, kwa maana wewe mwenyewe umeyatenda mambo hayo yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki