19 Tazama, kuna sauti ya kilio cha kuomba msaada cha binti ya watu wangu kutoka katika nchi ya mbali:+ “Je, Yehova hayumo Sayuni?+ Au, je, mfalme wake hayumo ndani yake?”+
“Kwa nini wamenitia uchungu kwa sanamu zao za kuchongwa, kwa miungu yao ya kigeni ya ubatili?”+