-
Yeremia 8:19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Kutoka nchi ya mbali kuna kilio cha kuomba msaada
Kutoka kwa binti ya watu wangu:
“Je, Yehova hayuko Sayuni?
Au je, mfalme wake hayuko ndani yake?”
“Kwa nini wamenikasirisha kwa sanamu zao za kuchongwa,
Kwa miungu yao ya kigeni ya ubatili?”
-