Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 146:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yehova atakuwa mfalme mpaka wakati usio na kipimo,+

      Mungu wako, Ee Sayuni, kwa kizazi baada ya kizazi.+

      Msifuni Yah!+

  • Zaburi 149:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Israeli na ashangilie katika Mtengenezaji Mkuu wake,+

      Wana wa Sayuni—na wamshangilie Mfalme wao.+

  • Isaya 33:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi+ wetu, Yehova ni Mpaji-sheria+ wetu, Yehova ni Mfalme+ wetu; yeye mwenyewe atatuokoa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki