Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yehova atatawala akiwa mfalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+

  • Zaburi 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yehova ni Mfalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+

      Mataifa yameangamia kutoka katika dunia yake.+

  • Zaburi 145:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ufalme wako ni ufalme kwa nyakati zote zisizo na kipimo,+

      Na mamlaka yako ni ya kuendelea mpaka vizazi vyote vinavyofuata.+

  • Danieli 6:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Agizo+ limetoka kwangu kwamba, katika kila mamlaka ya ufalme wangu, watu wawe wakitetemeka na kuogopa mbele za Mungu wa Danieli.+ Kwa maana yeye ni Mungu aliye hai na Yeye anaishi mpaka wakati usio na kipimo,+ na ufalme wake+ ni ufalme ambao hautaharibiwa kamwe,+ na mamlaka yake ni ya milele.+

  • Ufunuo 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikatokea mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa ufalme wa Bwana+ wetu na wa Kristo+ wake, naye atatawala akiwa mfalme milele na milele.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki