Zaburi 99:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 99 Yehova amekuwa mfalme.+ Vikundi vya watu na vifadhaike.+Anaketi juu ya makerubi.+ Dunia na itetemeke.+ Yeremia 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+
99 Yehova amekuwa mfalme.+ Vikundi vya watu na vifadhaike.+Anaketi juu ya makerubi.+ Dunia na itetemeke.+
10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+