Kutoka 25:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nami nitakutokea hapo na kusema nawe toka juu ya kifuniko+ hicho, toka katikati ya wale makerubi wawili walio juu ya sanduku la ushuhuda, naam, yote nitakayokuamuru wewe kwa ajili ya wana wa Israeli.+ Zaburi 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Naye akaja akiwa amepanda juu ya kerubi, akaja akiwa anaruka,+Naye akaja akiruka juu ya mabawa ya roho.+ Zaburi 80:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 80 Ee Mchungaji wa Israeli, tega sikio,+Wewe unayemwongoza Yosefu kama kundi.+Wewe unayeketi juu ya makerubi,+ uangaze.+
22 Nami nitakutokea hapo na kusema nawe toka juu ya kifuniko+ hicho, toka katikati ya wale makerubi wawili walio juu ya sanduku la ushuhuda, naam, yote nitakayokuamuru wewe kwa ajili ya wana wa Israeli.+
10 Naye akaja akiwa amepanda juu ya kerubi, akaja akiwa anaruka,+Naye akaja akiruka juu ya mabawa ya roho.+
80 Ee Mchungaji wa Israeli, tega sikio,+Wewe unayemwongoza Yosefu kama kundi.+Wewe unayeketi juu ya makerubi,+ uangaze.+