Kumbukumbu la Torati 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akasema:“Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+ Zaburi 50:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kutoka Sayuni, ukamilifu wa uzuri,+ Mungu mwenyewe ameangaza.+ Zaburi 94:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 94 Ee Mungu wa matendo ya kisasi, Yehova,+Ee Mungu wa matendo ya kisasi, uangaze!+
2 Naye akasema:“Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+