Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kisasi ni changu, na malipo.+

      Katika wakati uliowekwa mguu wao utasogea kwa kuyumba-yumba,+

      Kwa maana siku ya maafa yao iko karibu,+

      Na matukio yanafanya haraka kujitayarisha kwa ajili yao.’+

  • Isaya 35:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Waambieni wale wanaohangaika moyoni:+ “Iweni na nguvu.+ Msiogope.+ Tazameni! Mungu wenu atakuja na kisasi,+ Mungu akiwa na malipo.+ Yeye mwenyewe atakuja na kuwaokoa ninyi.”+

  • Yeremia 50:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Kuna sauti ya wale wanaokimbia na wale wanaoponyoka kutoka katika nchi ya Babiloni+ ili kutangaza katika Sayuni kisasi cha Yehova Mungu wetu,+ kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+

  • Nahumu 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili+ na hulipiza kisasi; Yehova analipiza kisasi+ naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu.+ Yehova anawalipiza kisasi wapinzani wake,+ naye ana kinyongo juu ya adui zake.+

  • Waroma 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wapendwa, msijilipizie kisasi+ wenyewe bali iachieni nafasi ghadhabu;+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”+

  • 1 Wathesalonike 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kwamba yeyote asifikie hatua ya kudhuru na kuziingilia haki za ndugu yake katika jambo hilo,+ kwa sababu Yehova ndiye anayelipiza adhabu kwa ajili ya mambo yote haya,+ kama vile tulivyowaambia ninyi kimbele na pia tukawapa ushahidi kamili.+

  • 2 Wathesalonike 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa upande wa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowafanyia ninyi dhiki,+

  • Waebrania 10:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kwa maana tunamjua yeye aliyesema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa”;+ na tena: “Yehova atawahukumu watu wake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki