Kumbukumbu la Torati 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “‘Wala usimtamani mke wa mwenzako.+ Wala usitamani kwa uchoyo nyumba ya mwenzako, shamba lake au mtumishi wake au kijakazi wake, ng’ombe wake au punda wake au kitu chochote cha mwenzako.’+ 1 Wakorintho 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kinyume cha hilo, mnawakosea na kuwapunja, tena ndugu zenu.+ 1 Wakorintho 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 lakini, kwa sababu ya kuenea kwa uasherati,+ kila mwanamume na awe na mke+ wake mwenyewe na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.
21 “‘Wala usimtamani mke wa mwenzako.+ Wala usitamani kwa uchoyo nyumba ya mwenzako, shamba lake au mtumishi wake au kijakazi wake, ng’ombe wake au punda wake au kitu chochote cha mwenzako.’+
2 lakini, kwa sababu ya kuenea kwa uasherati,+ kila mwanamume na awe na mke+ wake mwenyewe na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.