1 Wathesalonike 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kwamba yeyote asifikie hatua ya kudhuru na kuziingilia haki za ndugu yake katika jambo hilo,+ kwa sababu Yehova ndiye anayelipiza adhabu kwa ajili ya mambo yote haya,+ kama vile tulivyowaambia ninyi kimbele na pia tukawapa ushahidi kamili.+
6 kwamba yeyote asifikie hatua ya kudhuru na kuziingilia haki za ndugu yake katika jambo hilo,+ kwa sababu Yehova ndiye anayelipiza adhabu kwa ajili ya mambo yote haya,+ kama vile tulivyowaambia ninyi kimbele na pia tukawapa ushahidi kamili.+