2 Samweli 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo Daudi akatuma watu na kuuliza habari za mwanamke+ huyo, na mtu fulani akasema: “Je, huyu si Bath-sheba,+ binti ya Eliamu,+ mke wa Uria+ Mhiti?”+ Mathayo 5:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini mimi ninawaambia ninyi kwamba kila mtu ambaye anaendelea kumtazama mwanamke+ na kumtamani tayari amefanya uzinzi+ pamoja naye moyoni mwake.+
3 Ndipo Daudi akatuma watu na kuuliza habari za mwanamke+ huyo, na mtu fulani akasema: “Je, huyu si Bath-sheba,+ binti ya Eliamu,+ mke wa Uria+ Mhiti?”+
28 Lakini mimi ninawaambia ninyi kwamba kila mtu ambaye anaendelea kumtazama mwanamke+ na kumtamani tayari amefanya uzinzi+ pamoja naye moyoni mwake.+