21 “‘Wala usimtamani mke wa mwenzako.+ Wala usitamani kwa uchoyo nyumba ya mwenzako, shamba lake au mtumishi wake au kijakazi wake, ng’ombe wake au punda wake au kitu chochote cha mwenzako.’+
2 Na ikawa wakati wa jioni kwamba Daudi akaamka kutoka kitandani mwake, akatembea huku na huku juu ya dari+ ya nyumba ya mfalme; na kutoka juu ya dari akamwona+ mwanamke akioga, na mwanamke huyo alikuwa mwenye sura nzuri sana.+
14 Wana macho yenye kujaa uzinzi+ na yasiyoweza kuachana na dhambi,+ nao huzishawishi nafsi zisizo imara. Wana moyo uliozoezwa kutamani.+ Wao ni watoto waliolaaniwa.+