Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘Wala usimtamani mke wa mwenzako.+ Wala usitamani kwa uchoyo nyumba ya mwenzako, shamba lake au mtumishi wake au kijakazi wake, ng’ombe wake au punda wake au kitu chochote cha mwenzako.’+

  • 2 Samweli 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na ikawa wakati wa jioni kwamba Daudi akaamka kutoka kitandani mwake, akatembea huku na huku juu ya dari+ ya nyumba ya mfalme; na kutoka juu ya dari akamwona+ mwanamke akioga, na mwanamke huyo alikuwa mwenye sura nzuri sana.+

  • Ayubu 31:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Nimefanya agano pamoja na macho yangu.+

      Basi nawezaje kukaza fikira kwa bikira?+

  • 2 Petro 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wana macho yenye kujaa uzinzi+ na yasiyoweza kuachana na dhambi,+ nao huzishawishi nafsi zisizo imara. Wana moyo uliozoezwa kutamani.+ Wao ni watoto waliolaaniwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki