1 Yohana 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Watoto wa Mungu na watoto wa Ibilisi ni wazi kwa jambo hili: Kila mtu ambaye haendelei kufanya uadilifu+ hatokani na Mungu, wala yeye ambaye hampendi ndugu yake.+
10 Watoto wa Mungu na watoto wa Ibilisi ni wazi kwa jambo hili: Kila mtu ambaye haendelei kufanya uadilifu+ hatokani na Mungu, wala yeye ambaye hampendi ndugu yake.+