Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Usiitamani nyumba ya mwenzako. Usimtamani mke wa mwenzako,+ wala mtumwa wake wala kijakazi wake wala ng’ombe-dume wake wala punda wake wala chochote cha mwenzako.”+

  • 1 Wafalme 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hivyo Ahabu akaenda nyumbani kwake, akiwa mwenye kinyongo na mwenye huzuni kwa sababu ya lile neno ambalo Nabothi Myezreeli alikuwa amemwambia, aliposema: “Sitakupa fungu la urithi la mababu zangu.” Kisha akalala kitandani pake, akakaa akiwa amegeuza uso wake,+ naye hakula mkate.

  • Luka 12:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo akawaambia: “Endeleeni kufungua macho yenu na mjilinde na kila namna ya tamaa,+ kwa sababu hata wakati mtu ana vitu vingi uzima wake hautokani na vitu alivyo navyo.”+

  • Waroma 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi, tuseme nini? Je, Sheria ni dhambi?+ Isiwe hivyo kamwe! Kwa kweli singejua dhambi+ kama isingekuwa kwa sababu ya Sheria; na, kwa mfano, mimi singejua tamaa+ kama Sheria haingesema: “Usitamani.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki